KWELI

truth photo: Truth. Truth-bomb.gif                   JE AMRI ZA MUNGU ZIMEBADILIKA?
Au je baada ya bwana wetu Yesu kufa
amri zilibadilika?Tuitazame biblia inasomwaje
• ISAYA 28; 9 Atamfundisha nani maarifa? Atamfahamisha
nani habari hii? Je! Ni wale walioachishwa maziwa,
walioondolewa matitini?
• 10 Kwa maana ni amri juu ya amri, amri juu ya amri; kanuni
juu ya kanuni, kanuni juu ya kanuni; huku kidogo na huku
kidogo.
13 Kwa sababu hiyo neno la Bwana kwao litakuwa hivi, amri juu ya
amri, amri juu ya amri; kanuni juu ya kanuni, kanuni juu ya kanuni;
huku kidogo na huku kidogo; ili waende na kuanguka nyuma, na
kuvunjwa, na kunaswa, na kuchukuliwaKutolewa kwa amri za MUNGU
mugu wetu wa utaratibu alitoa taratibu kwa watu wake
tokea zamani sana
Kutoka 20
• Hata kabla ya musa kupewa amri mungu alikua
amepitisha sheria na amri kwa watu wake waliomcha
(mwanzo 26;5) Kwa sababu Ibrahimu alisikia sauti
yangu, akayahifadhi maagizo yangu, na amri zangu, na
hukumu zangu, na sheria zangu.
• Amri ni za mileleMitume na manabii wanasemaje
kuhusu hizi amri
waefeso 2;20 Mmejengwa juu ya msingi wa mitume na
manabii, naye Kristo Yesu mwenyewe ni jiwe kuu la pembeni.
ZABURI
• (zaburi 119;97) Sheria yako naipenda mno ajabu, Ndiyo
kutafakari kwangu mchana kutwa.
• (zaburi 119;165) Wana amani nyingi waipendao sheria yako,
Wala hawana la kuwakwaza
• (zaburi 119;151-152) Wokovu u mbali na wasio haki, Kwa
maana hawajifunzi amri zako.Mitume na manabii wanasemaje
kuhusu hizi amri
Mithali (19;16) Yeye aihifadhiye amri huihifadhi nafsi
yake; Bali yeye asiyeziangalia njia zake atakufa
• Mhubiri(13-14) Hii ndiyo jumla ya maneno; yote
yamekwisha sikiwa; Mche Mungu, nawe uzishike amri zake,
Maana kwa jumla ndiyo impasayo mtu.
• 14 Kwa maana Mungu ataleta hukumuni kila kazi, pamoja na
kila neno la siri, likiwa jema au likiwa bayaMitume na manabii wanasemaje
kuhusu hizi amri (new testiment)
Mathayo(5;17-19)
• Msidhani ya kuwa nalikuja kuitangua torati au manabii;
la, sikuja kutangua, bali kutimiliza.
• 18 Kwa maana, amin, nawaambia ,Mpaka mbingu na
nchi zitakapoondoka,yodi moja wala nukta moja ya torati
haitaoondoka ,hata yote yatimie.
• 19 Basi mtu ye yote atakayevunja amri moja katika hizi
zilizo ndogo, na kuwafundisha watu hivyo, ataitwa mdogo
kabisa katika ufalme wa mbinguni; bali mtu
atakayezitenda na kuzifundisha, huyo ataitwa mkubwa
katika ufalme wa mbinguniMitume na manabii wanasemaje
kuhusu hizi amri (new testiment)
Mathayo (22;36-40)
• 36 Mwalimu, katika torati ni amri ipi iliyo kuu?
• 37 Akamwambia, Mpende Bwana Mungu wako kwa
moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa akili
zako zote.
• 38 Hii ndiyo amri iliyo kuu, tena ni ya kwanza.
• 39 Na ya pili yafanana nayo, nayo ni hii, Mpende jirani
yako kama nafsi yako.
• 40 Katika amri hizi mbili hutegemea torati yote na
manabii.Mitume na manabii wanasemaje
kuhusu hizi amri (new testiment)
Yohana
14;15 Mkinipenda, mtazishika amri zangu. 21 Yeye aliye na amri
zangu, na kuzishika, yeye ndiye anipendaye; naye anipendaye
atapendwa na Baba yangu; nami nitampenda na kujidhihirisha kwake.
• 1yohana 5;2Katika hili twajua kwamba twawapenda watoto wa
Mungu, tumpendapo Mungu, na kuzishika amri zake. 3 Kwa maana
huku ndiko kumpenda Mungu, kwamba tuzishike amri zake; wala
amri zake si nzito. (mathayo 11;30) kwa maana nira yangu ni
laini, na mzigo wangu ni mwepesi
• Waefeso 6 2 Waheshimu baba yako na mama yako; amri hii ndiyo
amri ya kwanza yenye ahadi,kwa maana nira yangu ni laini, na
mzigo wangu ni mwepesi
• 1Yohana 2:3 Na katika hili twajua ya kuwa tumemjua yeye,
ikiwa tunashika amri zake. 4Yeye asemaye, Nimemjua, wala
hazishiki amri zake, ni mwongo, wala kweli haimo ndani yake.
• Yakobo 2;8 Lakini mkiitimiza ile sheria ya kifalme kama
ilivyoandikwa, Mpende jirani yako kama nafsi yako,
mwatenda vema. 9 Bali mkiwapendelea watu, mwafanya
dhambi na kuhukumiwa na sheria kuwa wakosaji. 10 Maana
mtu awaye yote atakayeishika sheria yote, ila akajikwaa katika
neno moja, amekosa juu ya yote. 11 Kwa maana yeye
aliyesema, Usizini, pia alisema, Usiue. Basi ijapokuwa
hukuzini, lakini umeua, umekuwa mvunja sheria. 12 Semeni
ninyi, na kutenda kama watu watakaohukumiwa kwa sheria ya
uhuruKusudi la kifo cha yesu
Waebrania (1;3)
Yeye kwa kuwa ni mng'ao wa utukufu wake na
chapa ya nafsi yake, akivichukua vyote kwa amri ya uweza wake,
akiisha kufanya utakaso wa dhambi, aliketi mkono wa kuume wa Ukuu
huko juu
• Waebrania 2;17
Hivyo ilimpasa kufananishwa na ndugu zake
katika mambo yote, apate kuwa kuhani mkuu mwenye rehema,
mwaminifu katika mambo ya Mungu, ili afanye suluhu kwa dhambi
za watu wake.
• 18 Na kwa kuwa mwenyewe aliteswa alipojaribiwa, aweza
kuwasaidia wao wanaojaribiwa.
• Yohana 1;29 Siku ya pili yake amwona Yesu anakuja kwake,
akasema, Tazama, Mwana-kondoo wa Mungu, aichukuaye
dhambi ya ulimwengu!Paulo anachokisema
Warumi 7;4
Kadhalika, ndugu zangu, ninyi pia mmeifia
torati, kwa njia ya mwili wa Kristo, mpate kuwa mali ya
mwingine, yeye aliyefufuka katika wafu, kusudi tumzalie Mungu
matunda
Warumi 6;6 mkijua neno hili, ya kuwa utu wetu wa kale
ulisulibishwa pamoja naye, ili mwili wa dhambi ubatilike,
tusitumikie dhambi tena;
Warumi 3;6 Basi, je! Twaibatilisha sheria kwa imani hiyo?
Hasha! Kinyume cha hayo twaithibitisha sheria
(2PETRO 3;15-17 )Je amri hazipo tena?
Ufunuo 11;19 Kisha Hekalu la Mungu lililoko mbinguni
likafunguliwa, na sanduku la agano lake likaonekana ndani ya
hekalu lake. Kukawa na umeme, na sauti, na radi, na tetemeko la

No comments:

Post a Comment