
Namshukuru mwenyezi MUNGU ALIYENIPA uhai tena nikitambua ni kwa neema tu peke yangu sikustahili .Lakini kwasababu ya rehema zake na ukuu wa peke yake ahimidiweISAYA66:1-4;1 Bwana asema hivi, Mbingu ni kiti changu cha enzi, na dunia ni mahali pa kuweka miguu yangu; 2..... .NA TUMUOMBE KWA BIDII KWA SABABU NI AHADI YAKE .isaya 55;6-12 Mtafuteni Bwana, maadamu anapatikana, Mwiteni, maadamu yu karibu; 7........
No comments:
Post a Comment